Proverbs 7:10-15
10 aNdipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,
hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.
11 b(Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,
miguu yake haitulii nyumbani;
12 cmara kwenye barabara za mji,
mara kwenye viwanja vikubwa,
kwenye kila pembe huvizia.)
13 dHuyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu,
na kwa uso usio na haya akamwambia:
14 e“Nina sadaka za amani nyumbani;
leo nimetimiza nadhiri zangu.
15 Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki;
nimekutafuta na nimekupata!
Copyright information for
SwhKC